Maisha yangekuwa mazuri sana laiti tungefaulu kwenye kila jambo. Lakini maisha hayapo hivyo. Takriban kila mwanadamu ameshawahi kufeli, anafeli muda huu au atafeli huko mbeleni. Tofauti tu ni kwenye jinsi ya kufeli, athari za kufeli huko, namna ya kujinasua, nk.
Lakini pia uzito wa kufeli hutegemea pia umaarufu wa mtu japo kimsingi mikakati ya kukabilian…



